online bookstore delivery

Swift Delivery

Your convenience, our priority

Holiday Value Packs

Holiday Value Packs

7 Storybooks for 7 weeks

safe shopping with storymoja

Safe Shopping

Pay with Mpesa, Visa..

excellent customer service

Customer Service

We are happy to serve you

Pioneer Kitabu Cha Udurusu Kiswahili  Gredi 7-9

Pioneer Kitabu Cha Udurusu Kiswahili Gredi 7-9

Pioneer Kitabu cha Udurusu cha Kiswahili kwa Shule za Junia (Gredi ya 7, 8 na kimeandikwa kwa kuzingatia Mtalaa wa Kiumilisi (CBC) wa kiwango kinacholengwa pamoja na Mfumo wa Tathmini ya Kiumilisi kutoka KNEC. Kitabu hiki ni nyenzo kamili kufanikisha tathmini endelevu na tathmini ya mwisho wa kozi ya shule za junia.

Sifa zake kuu

Uchambuzi wa kina wa mada: Kinajumuisha mada kutoka gredi mbalimbali ambazo zimeelezewa na kuchambuliwa kwa kina ili kumsaidia mwanafunzi kujenga msingi imara wa lugha ya Kiswahili.

Maandalizi ya tathmini: Kimejumuisha Karatasi za Tathmini za Majaribio zinazokusudiwa kumpa mwanafunzi ujuzi wa kukabiliana na tathmini endelevu za shuleni na KJSEA, zikiwa na maswali ya viteuzi na ya kimuundo, pamoja na majibu yake.

Mazoezi maalum: Kila mada ina shughuli maalum za kumwezesha mwanafunzi kufanya mazoezi ya kina ili kuimarisha ujifunzaji, kupima uelewa wake na kujiandaa kwa ajili ya tathmini endelevu za shuleni na KJSEA

Mafunzo halisia ya kiutekelezi: Kima shughuli tekelezi za kumshirikisha mwanafunzi zinazohamasisha uvumbuzi na matumizi ya maarifa na ujuzi katika hali halisi ya maisha

Kinajumuisha mtalaa mzima wa Kiswahili ya kiwango cha shule za

junio: Konashughulikia madu zote za Kiswahili kwa Gredi ya 7,8 na 9, na hivyo kawe rasilimali yo kuaminika kwa ajili ya marudio katika shule za junia

Author:
Francis Atulo et al

Parents are also buying

KSh 1,850.00
KSh 1,750.00
KSh 780.00

Get Our Newsletter

Sign up to our newsletter to be the first to receive news and special offers.